Posts

VYOMBO VYA HABARI VINA MCHANGO MKUBWA KATIKA SEKTA YA UCHUMI NA FEDHA-NAIBU GAVANA BoT JULIAN BANZI

Image
  NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID NAIBU Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), anayeshughulikia Utawala na Udhibiti wa Ndani,  Bw. Julian Banzi amesema vyombo vya habari vina mchango mkubwa katika kuelimisha umma kuhusu masuala ya Uchumi na Fedha. Akizungumza kwa niaba ya Gavana wa Benki Kuu wakati akifungua Semina ya siku moja ya masuala ya Uchumi na Fedha, kwa wahariri wa vyombo vya habari kwenye Makao Makuu ndogo ya BoT jijini Dar es Salaam leo Februari 27, 2023, Bw. Banzi alisema,  BoT ina amini kuwa wahariri na waandishi wa habari wakiwa na uelewa wa kutosha kuhusu masuala ya Fedha na Uchumi, watakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufikisha ujumbe ulio sahihi na kwa lugha rahisi kwa wananchi. Alisema,  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria inayoipa BoT mamlaka ya  kusimamia Sekya ya Huduma Ndogoz a Fedha. Chini ya Sheria hiyo BoT ndiyo inayosajili, Kusimamia na Kudhibiti biashara ya huduma ndogo za Fedha Tanzania Bara.  "Hapo nyuma kulikuwa na changamoto kidog

KATIBU MKUU CCM TAIFA DANIEL CHONGOLO KUANZA ZIARA YA KIKAZI KESHO MKOANI SINGIDA

Image
  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo (pichani) kesho Februari 27, 2023,anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku sita katika Mkoa wa Singida kwa ajili ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwenye halmashauri sita za mkoa huu kuona kama ilani ya CCM inatekelezwa vyema. Na Dotto Mwaibale, Singida   KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo,anatarajia kuanza ziara ya siku sita kesho (Februari 28) katika Mkoa wa Singida kwa ajili ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwenye halmashauri sita za mkoa huu kuona kama ilani inatekelezwa vyema. Katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Singida, Ahmed Kaburu, akizungumza na waandishi  wa habari leo Februari 27, 2023 alisema katika ziara hiyo Chongolo ataambatana na  viongozi wa sekretarieti ya chama hicho taifa, ataanzia ziara katika Wilaya ya Manyoni. Alisema akiwa katika Wilaya ya Manyoni atatembelea na kukagua mradi wa maji Kintiku Lusilile, ujenzi wa sekondari ya wasichana Sol

TSB KUANZISHA KLABU SHULENI ZA KUTANGAZA ZAO LA MKONGE

Image
Katika kampeni yake ya kuhamasisha kilimo cha Mkonge nchini, Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), iko kwenye mchakato wa kuanzisha klabu za wanafunzi katika shule za sekondari kwa lengo kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia kilimo hicho. Mkurugenzi Mkuu wa TSB, Saddy Kambona amesema hayo jana katika mahafali ya Kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari Coastal jijini Tanga ambapo alikuwa mgeni rasmi. Pamoja na mambo mengine amesema kwa kuanza na klabu hizo wataanza na shule hiyo kwa majaribio kabla ya kuhusisha shule nyingine huku akiahidi kulifanyia kazi ombi la uongozi wa shule hiyo kuwapatia ardhi kwa ajili ya kulima Mkonge. “Kama mnavyofahamu Bodi ya Mkonge ni taasisi ambayo kwa muda mrefu ilikuwa ni kama imekufa sasa tumekuja kama kuifungua rasmi ofisi kama jengo na sekta ya Mkonge kwa ujumla wake. “Lakini tunategemea tunapokwenda mbele vijana wengi sana kutoka kwenye shule za Tanga ndiyo wahusike kwenye mpango mzima wa kuleta mapinduzi kwenye zao la Mkonge kwani sasa hivi tunapozung

UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM GOBA, MTEMVU ASEMA CCM ITAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU, AMPONGEZA DIWANI ESTHER NDOHA

Image
    NA MWANDISHI WETU. Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi,CCM Mkoa wa Dar es salaam Abass Mtemvu amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuboresha mazingira ya huduma za elimu,afya na barabara Mtemvu ameyasema hayo leo jumapili februari 26 alipokuwa akizungumza katika mkutano mkuu maalum wa CCM kata ya Goba na kuongeza kuwa kipaumbele chake katika mkoa huo ni Kuhakikisha maeneo yote ya Mkoa huo yanapata miundombinu bora ya barabara za uhakika za lami. Ameongeza kuwa chama hicho kitahakikisha mpaka kufikia mwaka 2024 maeneo yote ya Mkoa wa Dar es salaam yanakuwa na miundombinu ya uhakika ikiwemo ya maji safi na salama ya uhakika ambayo yatachangia wakaazi wote kupata huduma hiyo muhimu ya maji. Kuhusu makampuni ya urasimishaji na upimaji ardhi ambayo yameshindwa kufanya kazi hiyo ndani ya kata ya Goba licha ya kulipwa fedha kutoka kwa wananchi,mwenyekiti huyo amesema kuwa atakutana na Mkuu wa mkoa huo hapo kesho na kuyataka makampuni hayo ama yakamilishe kazi ya urasimishaji na upimaji ardh

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATATU FEB 27, 2023

Image