AFISA MTENDAJI MKUU NFRA AWEKA WAZI UTEKELEZAJI MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA UHIFADHI NAFAKA KATIKA MAENEO NANE
Saymon Kobilesky Mhandisi Mjenzi wa Maghala ya Kuhifadhia Chakula mjini Sumbawanga kutoka Kampuni ya Unia Araj Poland akitoa Maelezo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Bw. Bw. Milton Lupa wakati alipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa maghala ya kuhifadhia chakula mjini Mpanda mkoani Katavi hivi karibuni. Kushoto ni Marwa Range Kaimu Meneja wa NFRA Kanda ya Sumbawanga. Proches Kiwango Fundi Sanifu wa Mradi wa Maghala ya NFRA Mpanda akitoa maelezo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Bw. Milton Lupa wa pili kutoka kushoto wakati alipokagua mradi huo unaotekelezwa na Kampuni ya Unia Araj Poland hivi karibuni, kushoto ni Marwa Range Kaimu Meneja wa NFRA Kanda ya Sumbawanga na Katikati ni Bw. Hudson Kamoga Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Kilimo Muonekano wa mradi wa ujenzi wa maghala ya kuhifadhia chakula Mpanda mkoani Katavi. Proches Kiwango Fundi Sanifu wa Mradi wa Maghala ya NFRA