10/31/2020
10/30/2020
10/29/2020
DKT. MAGUFULI NA MAAM JANNET MAGUFULI WAPIGA KURA HUKO DODOMA
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt akipiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji kilichopo katika Kijiji cha Chamwino Ikulu mkoani Dodoma tarehe 28 Oktoba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa wamepanga mstari pamoja na Wapiga kura wengine katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji kilichopo katika Kijiji cha Chamwino Ikulu mkoani Dodoma leo tarehe 28 Oktoba 2020.
Subscribe to:
Posts (Atom)