WILAYA ITAKAYOKUMBWA NA NJAA DC ATAONDOKA: MAGUFULI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida wakati akiondoka mara baada ya kuwahutubia leo tarehe 31 Januari 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida wakati akiondoka mara baada ya kuwahutubia leo tarehe 31 Januari 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na watoto mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida Januari 31, 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na watoto mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida Januari 31, 2021.(Picha na IKULU). NA MWANDISHI MAALUM. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahimiza wananchi kufanya kazi kwa bidii kwani kuba kila dalili ya uwepo wa uhaba wa chakula Duniani kwa vile mataifa mengi wame