TANZANIA TUKO MILIONI 61.7; RAIS SAMIA
Kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu Sura 351 ya 2015, na kwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025 Ibara 206, na kwa Mamlaka niliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ninawatangazia rasmi kuwa Tanzania ina idadi ya watu wapatao 61,741,120 . Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akinyanyua Kitabu cha Muongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma tarehe 31 Oktoba, 2022. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi Vitabu vya Matokeo ya Mwanzo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 pamoja na Kitabu cha Muongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuzindua Kitabu cha Muongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika sherehe zilizofany