WAZIRI MKUU MAJALIWA AREJEA NCHINI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri (Kushoto) wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Oktoba 30, 2022. Mheshimiwa Majaliwa amerejea nchini leo akitoka Korea baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi nchini humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"