Posts

Showing posts from November, 2023

TANZANIA NA UHOLANZI ZATILIANA SAINI MKATABA WA MSAADA WA KUENDELEZA BONDE LA MSIMBAZI

Image
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia) na Balozi wa Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, Mhe. Wieber De Boer, wakionesha hati ya mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo , Jijini Dae es Salaam . Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia) na Balozi wa Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, Mhe. Wieber De Boer, wakisaini mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jij

WANANCHI WENGI WAJITOKEZA VITUONI SIKU YA MWISHO UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA TABORA

Image
  Issa Said BVR Kit Operator wa tume ya Taifa ya Uchaguzi akichukua taarifa za Cosmas Mathias mkazi wa Kizigo Kara ya Ng'ambo Halmashauri ya Tabora wakati mkazi huyo alipofika kituoni hapo kwa ajili ya kuboresha taarifa zake kwenye Daftari  la Kudumu la Wapiga Kura ambapo Leo Novemba 30, 2023 ndiyo siku ya mwisho ya zaoezi hilo  litakalofingwa saa saa 12: jioni watu wengi wamefurika vituoni ili kuitumia siku hii ya mwisho kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari. Gasper Kiswaga BVR Kit  Operator Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC akimchukua alama za vidole Bi. Selina George mkazi wa Kizigo Kata ya Ng'ambo Halmashauri ya Tabora wakati mkazi huyo alipofika kituoni hapo kwa ajili ya kuboresha taarifa zake kwenye Daftari  la Kudumu la Wapiga Kura ambapo Leo Novemba 30, 2023 ndiyo siku ya mwisho ya zaoezi hilo  litakalofingwa saa saa 12: jioni.    

NEC YATOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA SIKU YA KESHO KUBORESHA TAARIFA ZAO

Image
  Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Giveness Aswile akielekeza jambo kwa BVR Kit Operator  Viola Ginithone Swai na David Enock katikati namna ya kukwepa mwanga wa jua kwa vifaa vinavyotumika kwenye zoezi hilo wakati alipotembelea kituo cha Mtaa wa Kalingonji  kata ya Ng'ambo. Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Giveness Aswile akielekeza jambo kwa Adam Mkina Mkurugenzi wa Tume ya ya Taifa ya Uchaguzi Ofisi ya Zanzibar wakati walipotembelea katika moja ya vituo vya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwenye kata ya Ng'ambo mkoani Tabora.  Bi. Leila Muhaji Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Habari kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi akifurahia jambo huku akiwa na mtoto wa mmoja wa wapiga kura waliofika kwenye kituo cha Tuktuk kata ya Ng'ambo  ili kujiandikisha. Baadhi ya wananchi waliofika kwenye kituo cha Tuktuk kwa ajili ya kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura k

KUTOKA MAGAZETINI LEO NOVEMBA 30, 2023

Image