TANZANIA NA UHOLANZI ZATILIANA SAINI MKATABA WA MSAADA WA KUENDELEZA BONDE LA MSIMBAZI

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia) na Balozi wa Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, Mhe. Wieber De Boer, wakionesha hati ya mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, Jijini Dae es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia) na Balozi wa Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, Mhe. Wieber De Boer, wakisaini mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, Jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu.
Balozi wa Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, Mhe. Wieber De Boer, akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seif, akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini wa mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu.
 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (Katikati), na Balozi wa Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, Mhe. Wieber De Boer (wapili kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji mbalimbali wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Ufalme ya Uholanzi, baada ya halfa ya utiaji saini mkataba wa msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 82 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Undelezaji Bonde la Msimbazi, Jijini Dar es Salaam, iliofanyika katika Ofisi za Hazina Ndogo, Jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa euro milioni 30 zilizotolewa na Uholanzi, ni sehemu ya gharama ya Mradi huo wa Undelezaji Bonde la Msimbazi utakaogharimu dola za Marekani milioni 260, ambapo kati ya kiasi hicho, Benki ya Dunia itatoa dola za Marekani milioni 200 na Serikali ya Hispania itatoa euro milioni 30 kama mkopo nafuu. Waliosimama mstari wa mbele kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Amina Khamisi Shaaban, wa kwanza kushoto ni Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seif


Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"