ANAHITAJI MSAADA WAKO
Bw Majaliwa Lugusha, KIASI CHA SHILINGI 7,880,060 /= Kwa jina naitwa Majaliwa Lugusha, naishi Mtoni Kijichi wilaya ya Temeka mkoa wa Dar es Salaam. Kama Namba yangu ya Mpesa : 0758 070 424 kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi nasumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu yapata ( Milioni saba laki nane themanini elfu na sitini tu ). Ndugu yangu mpendwa , madaktari wangu, atimae wameniita kwenda kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu ya ziada na ndani Niliendelea kutafuta hospitali mbalimbali kwa matibabu ya ziada juu ya tatizo langu na atimae niliwasiliana na hospitai inaitwa Mayo Clinic nchini MareWAKO AKAPATIWE MATIBABUkani ambapo baada ya mawasiliano nao hali yangu iliendelea kuwa mbaya mpaka imefikia sasa hivi siwezi kufanya kazi tena na viungo vyangu vyote. Nimefanikiwa kupata rafiki yangu ambae amehaidi kunilipia gharama za matibabu tu ukiachilia gharama za tiketi ya ndege na kujikimu kwangu na anaenisindikiza. Hivyo basi ndugu yangu naandika waraka huu na ku