Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Tawi la Benki ya Mwanga Hakika jijini Dodoma, Agosti 31, 2021. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki hiyo, Ridhiwani Mringo, Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Benard Kibessa na kulia ni Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Jagjit Singh. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Tawi la Benki ya Mwanga Hakiki jijini Dodoma, Agosti 31, 2021.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt Benard Kibessa (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Benki ya Mwanga Hakika, Ridhiwani Mringo tawi la Dodoma, baada ya kuzindua tawi hilo Agosti 31, 2021.Kushoto ni Waziri wa Habari, Utama