Posts

TGNP YAPONGEZA KASI YA RAIS SAMIA SIKU 100

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi  Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi amepongeza mwelekeo wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akisema inazingatia masuala ya usawa wa kijinsia hali itakayosababisha maendeleo yaende kwa haraka.

WAZIRI MKENDA AONESHA WAZI KUTORIDHISHWA NA MWENENDO WA KNCU// ASEMA SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO YA SHERIA YA USHIRIKA YA MWAKA 2013

Image
  Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye mkutano mkuu wa 36 wa chama kikuu cha ushirika Mkoani Kilimanjaro (KNCU)  tarehe 28 Juni 2021,  uliofanyika katika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro.  (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo) Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye mkutano mkuu wa 36 wa chama kikuu cha ushirika Mkoani Kilimanjaro (KNCU)  tarehe 28 Juni 2021,  uliofanyika katika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro. Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Kahama (KACU) akizungumza kwenye mkutano mkuu wa 36 wa chama kikuu cha ushirika Mkoani Kilimanjaro (KNCU) tarehe 28 Juni 2021, uliofanyika katika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kuendeleza Kilimo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania-SAGCOT, Ndg Geoffrey Kirenga   akizungumza kwenye mkutano mkuu wa 36 wa chama kikuu cha ushirika Mkoani Kilimanjaro (KNCU)  tarehe 28 Juni 2021,  uliofanyika katika Ma

MAKONSELI WAKUU WA MSUMBIJI NA OMAN WAWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO

Image
Na mwandishi wetu. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula apokea nakala ya hati za utambulisho za Makonseli Wakuu wawili kutoka Msumbiji na Oman wenye makazi Zanzibar. Makonseli hao ni Mhe. Agustinho Abacar Trinta Konseli Mkuu wa Msumbiji pamoja na Mhe. Said Salim Al Sinawi Konseli Mkuu wa Oman Pamoja na mambo mengine, viongozi hao wamedajiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi baina ya nchi zao na Tanzania. Konseli Mkuu wa Oman mwenye makazi Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasilisha nakala ya hati za utambulisho Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala ya hati za utambulisho kutoka kwa Konseli Mkuu wa Oman mwenye makazi Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi. Uwa

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAKATI AKITIMIZA SIKU 100 TANGU AINGIE MADARAKANI

Image
  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Juni 28, 2021 amekutana na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakati akitimiza siku 100 tangu aingie madarakani, Mhe. Rais alianza mkutano wake kwa kupokea maoni na maswali kutoka kwa Wahariri wakiongozwa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Bw. Deodatus Balile. Baada ya kupokea maoni na maswali hayo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa alitoa hotuba fupi na kumkaribisha Mhe. Rais ambaye alijibu maswali hayo na kuelezea dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita anayoiongoza kuwa itashirikiana kwa karibu na vyombo vya habari katika kutekeleza majukumu yake na kwa kuonyesha hilo, Rais ameagiza magazeti ambayo yalimaliza adhabu yake ya kufungiwa yatakapokamilisha usajili yaachiwe yaendelee na jukumu lake la kuhabarisha. Rais pia ametoa changamoto kwa vyombo vya habari kuchangamkia fursa za matangazo kutoka Taasisi za Umma na Binafsi na kuwaondoa shaka kuwa haku

MAONESHO YA 45 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR ES SALAAM YAANZA, MAKAMPUNI 3,200 KUSHIRIKI

Image
NA K-VIS BLOG WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Mhe. Profesa Kitila Mkumbo amesema jumla ya makampuni 3,200 kutoka ndani na nje ya nchi yamethibitisha kushiriki maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yaliyoanza leo Juni 28, 2021 kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo asubuhi kwenye ukumbi wa mikutano wa TanTrade ulioko ndani ya viwanja hivyo Mhe. Waziri alisema,maonesho hayo yatadumu kwa muda wa siku 16 na yamebeba  kauli mbiu isemayo  “ Uchumi wa Viwanda Kwa Ajira na Biashara Endelevu”. “Kuna makampuni 76 kutoka nchi 7 za kigeni na kuna taasisi binafsi na za umma yakiwemo makampuni ya watu binafsi kutoka hapa nchini yatashiriki.” Alisema Profesa Mkumbo na kuongeza……. “Maonesho yameanza leo Juni 28, 2021 kama mnavyoona na ufunguzi rasmi utafanyika Julai 5, 2021 ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.” Alisema Alise

SERIKALI KUENDELEA KUKABILIANA NA WAVAMIZI BONDE LA MTO KILOMBERO

Image
  Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakifuatilia mada kuhusu bonde la Mto Kilombero katika kikao kilichofanyika mjini Morogoro jana. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akielezea kuhusu msimamo wa Serikali wa kukabiliana na uvamizi wa bonde la Mto Kilombero, kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kilichofanyika mjini Morogoro jana. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angelina Mabula (Mb) akizungumza kuhusu msimamo wa Serikali juu ya mipaka ya ardhi ya vijiji vilivyo jirani na bonde la Kilombero wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kilichofanyika mjini Morogoro jana. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Martin Shigela akizungumza neno la utangulizi kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kilichofanyika mjini Morogoro jana. Afisa Wanyamapori Mkuu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Pellage Kauz

MAAFISA VIJANA NA MAAFISA MAENDELEO NGAZI ZA HALMASHAURI WATAKIWA KUWASAIDIA VIJANA.

Image
K aimu Afisa Vijana Mkoa wa Singida, Frederick Ndahani (wa pili kulia) akiwaelekeza jambo  viongozi wa mradi wa kilimo wa vijana  ujulikanao kwa jina la Singida Youth Agricultural Group uliopo Uhamaka Manispaa ya  Singida alipofanya ziara ya kukagua mradi huo juzi.   Kaimu Afisa Vijana Mkoa wa Singida, Frederick Ndahani (wa pili kulia) akisisitiza jambo katika ziara hiyo. Kaimu Afisa Vijana Mkoa wa Singida, Frederick Ndahani (wa pili kulia) na viongozi wa kikundi hicho wakiangalia bwawa la ufugaji wa samaki. Ukaguzi wa shamba ukifanyika katika ziara hiyo.  Na Dotto Mwaibale, Singida KAIMU Afisa Vijana Mkoa wa Singida, Frederick Ndahani amewataka Maafisa Maendeleo ngazi za Halmshauri na Kata kuwasaidia vijana kuwaweka pamoja na kuunda vikundi. Ndahani alitoa ombi hilo juzi wakati akikagua mradi wa kilimo wa vijana  ujulikanao kwa jina la Singida Youth Agricultural Group uliopo Uhamaka Manispaa ya  Singida. Vijana hao kupitia mradi huo wanajishughulisha na kilimo cha matunda,mboga, ufuga