Posts

RC SHIGELLA ALISHUKURU SHIRIKA LA WORLVISION TANZANIA KWA KUWEKEZA KWENYE MRADI MKUBWA WA MAJI MKINGA

Image
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza mara baada ya kumaliza ziara yake ya kukagua,kutembelea miradi ya maji kujionea namna unavyotekelezwa eneo la Horohoro Mkinga mkoani Tanga ikiwa ni muendelezo wa maelekezo ya Rais Dkt John Magufuli ya kuona namna serikali yake inawafikishia maji wananchi kwa ukaribu zaidi na kutekelezwa kwa vitendo kauli mbiu ya kumtua mama ndoo kichwan i na mazingira ya miundombinu pamoja na kuzindua mtambo wa umeme jua uliosimikwa hapo kwa ajili ya kusukuma maji wilayani Mkinga kulia ni Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Omari Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Omari akizungumza wakati wa ziara hiyo Mratibu wa Mradi huo kutoka Shirika la World Vision,Damian Sanka kulia akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela kushoto wakati alipotembelea mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Duga Maforoni wenye thamani ya Sh milioni 471 uliojengwa na shirika la World Vision Tanzania kwa kushirikiana na serikali ya Japan

KUANZIA OKTOBA 1, 2020 VITAMBULISHO VYA TAIFA, LESENI ZA UDEREVA, HATI YA KUSAFIRIA PAMOJA NAMBA ZA SIMU KUSAJILI WAGENI KULALA KWENYE HUDUMA ZA MALAZI ZILIZOSAJILIWA NA WIZARA

Image
NA MWANDISHI WETU WAGENI wa ndani na nje ya nchi watakaolala  kwenye Huduma za Malazi zilizosajiliwa  na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mujibu wa sheria kuanzia Oktoba 1, 2020 watatakiwa kuanza  kusajiliwa kwenye mfumo wa kielektoniki wa MNRT PORTAL.     Wageni hao watatakiwa kuwa na  Vitambulisho vya Taifa( NIDA) au Hati za Kusafiria na wale ambao hawatakuwa na vitambulisho hivyo  watasajiliwa kupitia namba za simu au Vitambulisho vya Udereva   Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam  na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Philip Chitaunga wakati alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja  ya Usajili Wageni wanaolala kwenye Huduma za Malazi kupitia  mfumo wa kielektoniki wa MNRT PORTAL  kwa Wamiliki wa Malazi wapatao 200 wa Kanda ya  Pwani. Amesema lengo kuu la kusajili Wageni hao katika huduma hizo  ni kupata taarifa zitakazosaidia Serikali kupata takwimu sahihi kwa ajili ya  kuboresha sekta ya Utalii nchini.   Amesema taarifa hizo zitatumika kama nyezo katika kuandaa ser

TANROADS: UJENZI WA DARAJA LA SIBITI WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

Image
  Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini  (TANROAD) Mkoa wa Singida,  Mhandisi  Matari Masige (kulia) akitoa taarifa fupi ya kazi ya ujenzi  wa daraja la Sibiti ambalo linaunganisha Mkoa wa Singida na Simiyu kwa  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)  na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi.  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)  na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (katikati) akikagua daraja hilo. Muonekano wa daraja hilo. Wananchi wa Kata ya Bukumbi Wilayani Meatu mkoani Simiyu wakipita kwenye daraja hilo. Kazi za ujenzi zikiendele katika daraja hilo. Dotto Mwaibale na Ismail Luhamba, Singida  Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini  (TANROAD) Mkoa wa Singida,  Mhandisi  Matari Masige amesema kazi ya ujenzi wa daraja la Sibiti ambalo linaunganisha Mkoa wa Singida na Simiyu imekamilika kwa asilimia 100. Masige aliyasema hayo jana kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri K

KILIMO CHA UMWAGILIAJI NDIO UKOMBOZI WA MKULIMA -KUSAYA

Image
  Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa na viongozi wa skimu ya umwagiliaji mpunga ya Dakawa wakitazama mtambo wa kusukuma maji kwenda mashambani leo alipotembelea mkoani Morogoro.    Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tshirt ) akiongea na wakulima wa mpunga katika skimu ya umwagiliaji Dakawa mkoani Morogoro. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitazama kifaa kinachotumika kuhamia/kufukuzia ndege shambani kinachotumiwa na kijana Sunday Lukobya ( kulia) leo alipokagua skimu ya umwagiliaji mpunga Dakawa mkoani Morogoro.  Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akikagua mashamba ya mpunga ya wakulima katika skimu ya umwagiliaji Dakawa mkoani Morogoro leo.Nyuma yake ni mratibu wa mradi huo Mhandisi Senzia Maeda.  ( Habari na picha na Wizara ya Kilimo)  **********************************  Wakulima wameshauriwa kujikita katika kuanzisha mashamba ya mazao ya kilimo kwa kutumia umwagiliaji kama njia ya uhakika wa kupata mavuno mengi na uhakik

HIVI NDIVYO MGOMBEA URAIS WA CCM,RAIS DKT MAGUFULI ALIVYOUTIKISA MJI WA KASULU LEO MKOANI KIGOMA

Image
  Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia ya Wananchi wa Kasulu mkoani Kigoma katika Mikutano ya Kampeni za CCM leo tarehe 17 Septemba 2020  Umati wa watu waukimsikiliza Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa chama hicho,Rais Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Wananchi wa Kasulu Vijijini mkoani Kigoma katika mikutano ya Kampeni ya CCM leo tarehe 17 Septemba 2020.  Wafuasi wa CCM na Wananchi wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa chama hicho,Rais Dkt John Pombe Magufuli 

KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA SEPTEMBA 18, 2020

Image