Posts

TAKUKURU SINGIDA YACHUNGUZA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI.1

Image
  Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida, Mzalendo Widege , akitoa taarifa kwa waandishi wa habari ya utekelezaji wa shughuli za taasisi hiyo katika kipindi cha robo ya nne ya mwakawa fedha 2020/2021. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Taasisi hiyo Mkoa wa Singida, Adamu Kilongozi. Maafisa wa Takukuru wakiwa katika kikao hicho cha utoaji wa taarifa kwa waandishi wa habari. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma wa Taasisi hiyo Mkoa wa Singida, Samson Julius, Mkuu wa Taasisi hiyo Wilaya ya Iramba, Ahmed Sungura na Mkuu wa Taasisi hiyo Wilaya ya Mlalama, Yasini Mohamed.  Maafisa wa Takukuru wakiwa katika kikao hicho. Kutoka kushoto  ni  Paul Kaheshi na   Theopister  Tembo.  Maafisa wa Takukuru wakiwa katika kikao hicho. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Taasisi hiyo Wilaya ya Ikungi, Erick Nyoni na Hamisi Kilulani. Afisa Takukuru Mkoa wa Singida, Shemu Mgaya akiwa kwenye kikao hicho. Maafisa wa Takukuru wakiwa katika kikao hicho cha utoaji wa taarifa kwa waan

TCRA Yashiriki Mbio Za Mwenge Maalum 2021 Ipagala Jijini Dodoma

Image
  Afisa Mwandamizi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Mabel Masasi  akikabidhi kitabu cha Mwongozo wa Huduma kwa Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania kwa viongozi wa Mbio za Mwenge Maalum 2020/21 ikiwa ni ishara ya TCRA kuunga mkono kauli mbiu ya mbio za mwenge mwaka huu isemayo "TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu; itumike kwa usahihi na uwajibikaji" Afisa Mawasiliano Mwandamizi  wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mabel Masasi akiwapa maelezo viongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru ulipowasili katika  Shule ya Msingi Ipangala 'B' iliyopo jijini Dodoma wakati wa mbio za Mwenge Maalum 2020/21 ikiwa ni ishara ya TCRA kuunga mkono kauli mbiu ya mbio hizo isemayo "TEHAMA ni msingi wa wa Taifa endelevu; itumike kwa usahihi na uwajibikaji" Baadhi ya viongozi wakipata huduma za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Wakati Mwenge wa Uhuru ulipokwenda katika Shule ya Msingi ya Ipagala B jijini Dodoma. Baadhi ya viongozi wakipata huduma za Mamlaka ya M

KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI JULAI 29, 2021

Image
 

RAIS SAMIA AZINDUA MIRADI ILIYOFADHILIWA NA UJERUMANI KWA JWTZ

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa MAJESHI ya Ulinzi, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata Utepe kwa ajili ya kupokea Miradi iliyofadhiliwa na kujengwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Jeshi la Nchi hiyo (GAFTAG) kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Lugalo Jijini Dar es salaam leo Julai 28,2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa MAJESHI ya Ulinzi, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiondoa kitambaa kwa ajili ya kupokea Miradi iliyofadhiliwa na kujengwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Jeshi la Nchi hiyo (GAFTAG) kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Lugalo Jijini Dar es salaam leo Julai 28,2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa MAJESHI ya ulinzi, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo  kuhusu uchunguzi wa Magonjwa Ambukizi baada ya kupokea Miradi iliyofadhiliwa na kujengwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Jeshi la Nchi hiyo (GAFTAG) kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Lugalo Jijini Dar es salaam leo Ju

CHANJO DHIDI YA COVID 19: RAIS SAMIA AONYESHA NJIA, APEWA CHANJO HADHARANI

Image
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 28, 2021, amechanja Chanjo dhidi ya Uviko 19, katika hafla ya uzinduzi wa Chanjo hiyo hapa nchini iliyofanyika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam. Viongozi wengine waliochanja ni pamoja na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe mama Mary, Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda na mkewe mama Tunu, Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Liberata Mulamula, Jaji Mkuu, Mhe. Profesa Ibrahim Juma, Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makala na wakuu wote wa wilaya wa Mkoa wa Dar es Salaam, viongozi wa dini   akiwemo Sheikh Mkuu Mufti Aboubakar Bin Zubeir na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kanisa Katoliki, Yuda Thadeus Rwaichi na waandishi wa habari. “Leo tunazindua uchanjaji Tanzania tukijua chanjo ni ndogo ukilinganisha na idadi ya Watu, kama alivyosema Waziri, wapo wanaozikataa lakini wanaozitaka ni wengi sana, nina mesej

MHANDISI MASAUNI AAGIZA MIKOPO NA MADENI YA BENKI YA TIB KUREJESHWA

Image
  Na Peter Haule, WFM, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, ameiagiza Benki ya TIB kuhakikisha madeni na fedha zote za mikopo zaidi ya shilingi bilioni 535.3 zilizokopeshwa kwa wateja wao bila kufuata taratibu pamoja na wadaiwa sugu zinarejeshwa ili zitumike kutoa mikopo kwenye maeneo mengine yenye tija. Mhandisi Masauni ametoa maagizo hayo jijini Dar es Salaam  alipotembelea  Benki ya TIB  ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya Benki hiyo na wafanyakazi, katika mwendelezo wa ziara zake za kutembelea taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dar es Salaam. “Kwa njia yeyote ile ni lazima fedha za wananchi zirejeshwe hivyo nawaagiza pia kuleta mapendekezo Serikalini ili kuangalia iwapo kuna eneo ambalo Serikali inaweza kuingilia kati kuhakikisha tunaokoa fedha za wananchi zilizowekezwa katika miradi isiyo na tija”, alieleza Mhandisi Masauni. Alisema kuwa nchi inapoelekea inahitaji kuona Benki ya TIB inashiriki ki

Benki ya Equity (T) yazindua huduma mpya za kutuma Fedha Kimataifa.

Image
• Kupitia Huduma za “Equity ni Moja” Wateja Benki ya Equity Tanzania  sasa wanaweza kufanya miamala yao katika matawi yote ya Benki ya Equity Congo DRC, Kenya, Uganda, Rwanda, Sudani ya Kusini kama wapo nyumbani. • Kupitia huduma mpya ya SADCC- SIRESS wateja wa Benki ya Equity wanaweza  kufanya miamala kwenda na kutoka katika nchi  SADC kwa gharama ya DOLA 10 tu bila kujali kiwango. Dar es Salaam, Jumanne tarehe 27 Julai 2021 . Benki ya Equity Tanzania leo imeingiza sokoni la huduma mbili mpya za utumaji fedha kimataifa  zinazolenga kuingusha Tanzania na nchi nyingine za Afrika. Huduma hizo ni “Equity ni Moja” ” ambayo inawawezesha Wateja Benki ya Equity Tanzania  kufanya miamala yao katika matawi yote ya Benki ya Equity Congo DRC, Kenya, Uganda. Pia Huduma ya SADCC-SIRESS INAYOWAWEZESHA wateja wa Benki ya kufanya miamala kwenda na kutoka katika nchi  SADC kwa gharama ya DOLA 10 tu bila kujali kiwango. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity (T) Robert Kiboti alisema: "Tunajivunia