Posts

RC RUKWA, JOSEPH MKIRIKITI AAGIZA MIRADI INAYOTEKELEZWA MKOANI HUMO ILINGANE NA THAMANI YA FEDHA

Image
HALMASHAURI za mkoa wa Rukwa zimetakiwa kutumia fedha za serikali kuu na za makusanyo ya ndani kukamilisha miradi ya maendeleo kwa kuzingatia thamani ya fedha huku miradi hiyo ikiwemo ujenzi wa shule, ujenzi wa hospitali na miradi ya maji ikiwa na ubora . Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti   (27.07.2021) wakati alipofanya ziara ya kikazi kukagua miradi ya maendeleo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga ikiwa na lengo la kufuatilia na kutilia mkazo utekelezaji wa kazi za Serikali tangu alipoteuliwa kuongoza mkoa wa Rukwa hivi karibuni. Mkuu huyo wa Mkoa ameziagiza Halmashauri mkoani Rukwa kutumia fedha zake za makusanyo ya ndani kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilishwa kwa ubora na wakati ili kero za wananchi kukosa madarasa, maji na huduma za afya ikiwemo ukosefu wa madawa. “Sasa Serikali imepunguza mzigo kwa halmashauri kwa kulipa posho za madiwani hivyo tunategemea kuona fedha iliyokuwa ikilipwa kwao ikitumika kukamilisha miradi ya maendel

AWLN, TAASISI YA MWALIMU NYERERE ZAPEWA CHANGAMOTO YA KUSIMAMIA AMANI AFRIKA

Image
Na Mwandishi wetu, Dar Mtandao wa Uongozi wa Wanawake Afrika (AWLN) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mwalimu Nyerere umepewa changamoto ya kukuza na kusimamia masuala ya umoja na amani katika Bara la Afrika ili kuleta maendeleo ya watu.   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula ametoa wito huo wakati alipokutana na Mtandao huo pamoja na Taasisi ya Mwalimu Nyerere ikishirikiana na Shirika la Kimataifa la kutetea Haki na Maendeleo ya Wanawake (UN Women) leo jijini Dar es Salaam “Agenda yetu ni muhimu, hamuwezi kusema kuwa tuna maendeleo kama hakuna amani…….amani ni sehemu ya Diplomasia ya Uchumi, kama amani huwezi kuitafuta kwa njia nyingine tuseme amani ni maendeleo na maendeleo ni amani,” Amesema Balozi Mulamula Balozi Mulamula ameongeza kuwa, kwa kuzingatia kwamba amani ni matokeo ya haki juhudi zinahitajika katika kuhamasisha na kuunga mkono ushiriki kamili wa wanawake kama wadau muhimu wa kulinda na kutetea amani. Kwa upande wake, Mkurugenzi

MABULA ASIKILIZA KILIO CHA WANA MASASI NA KUTOA MAAGIZO

Image
  Na   Munir Shemweta, MASASI Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikiliza kilio cha wananchi wa wilaya ya Masasi kuhusiana na migogoro ya ardhi na na kumuagiza Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Mtwara Rehema Mwinuka kufuatilia utendaji kazi wa sekta ya ardhi katika halmashauri za mkoa wa Mtwara. Akizungumza katika mkutano wa hadhara wakati wa kusikiliza na kuzipatia ufumbuzi changamoto za sekta ya ardhi katika wilaya ya Masasi Julai 27, 2921 mkoani Mtwara, Dkt Mabula alisema  katika ziara yake wilayani humo amebaini uonevu unaofanywa na baadhi ya watumishi wa sekta ya ardhi wasio waaminifu kutowatendea haki wananchi wakati wa kushughulikia changamoto za ardhi. ‘’Hapa nimegundua kuna jambo moja na nakuelekeza Kamishna wa Ardhi fuatilia katika halmashauri zako zote kuna uonevu mkubwa kwenye maeneo ya wananchi, kwa sababu hoja zote zinazoongelewa hapa ni shamba langu limechukuliwa sikupewa chochote au shamba langu ekari sita nimepewa kiwanja kimoja

WAZIRI MKENDA AIELEKEZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUWEKA MIUNDOMBINU KWENYE SHAMBA LA PILIPILI MOROGORO

Image
  Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda akikagua eneo la kilimo cha Pilipili ambalo lipo chini ya Umoja wa Wajasiriamali wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUGECO) kwa ajili ya kilimo cha Pilipili katika kijiji cha Luhindo kilichopo katika Wilaya ya Mvomero, Wakati akiwa katika ziara ya kikazi leo tarehe 27 Julai 2021. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo) Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda akikagua ramani ya eneo la kilimo cha Pilipili ambalo lipo chini ya Umoja wa Wajasiriamali wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUGECO) kwa ajili ya kilimo cha Pilipili katika kijiji cha Luhindo kilichopo katika Wilaya ya Mvomero, Wakati akiwa katika ziara ya kikazi leo tarehe 27 Julai 2021. Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda akijadili jambo na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe Halima Okash pamoja na Mwanzilishi wa SUGECO Dkt Anna Temu mara baada ya kukagua eneo la kilimo cha Pilipili ambalo lipo chini ya Umoja wa Wajasiriamali wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilim

DORIA YA KUFUKUZA TEMBO KUANZA LEO WILAYANI NACHINGWEA

Image
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akimsikiliza Mhifadhi wa Makumbusho ya Majimaji na ya Kumbukumbu ya Dkt. Rashid Mfaume Kawawa, Balthazar Nyamusya (kushoto) akitoa maelezo kuhusu zana za mishale zilizotumika kipindi cha vita ya Majimaji, alipofanya ziara ya kikazi ya kukagua eneo la Makumbusho ya Majimaji lililopo Bombambili Wilaya ya Songea. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akimsikiliza Mhifadhi wa Makumbusho ya Majimaji na ya Kumbukumbu ya Dkt. Rashid Mfaume Kawawa, Balthazar Nyamusya (kushoto) akitoa maelezo kuhusu handaki lililopo kwenye Makumbusho ya Dkt. Rashid Mfaume Kawawa alipofanya ziara ya kikazi ya kukagua eneo hilo lililopo Bombambili Wilaya ya Songea . Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akimsikiliza Mhifadhi wa Makumbusho ya Majimaji na ya Kumbukumbu ya Dkt. Rashid Mfaume Kawawa, Balthazar Nyamusya (kulia) akitoa maelezo kuhusu mavazi yaliyopo kwenye Makumbusho ya Dkt. Rashid Mfaume Kawa

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATANO JULAI 28, 2021

Image
 

BENKI KUU YATANGAZA HATUA ZA KISERA KUONGEZA UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA SEKTA BINAFSI NA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA

Image
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga