KILIMO HAI NI AJIRA YA UHAKIKA KWA VIJANA
Afisa Tathmini na Ufuatiliaji wa SAT Yohana Haule akiwa amemshika mkono Mtaribu wa Mradi wa Kilimo Hai wilaya ya Mlimba Elizabeth Msobi jana wakivuka mto kwenda kukagua mashamba ya vijana wakati wa ziara ya wataalam wa Wizara ya Kilimo kutembelea vikundi vya vijana kijiji cha Kalengakelu wilaya ya Mlimba. Afisa Tathmini na Ufuatiliaji wa SAT Yohana Haule akiwa amemshika mkono Mtaribu wa Mradi wa Kilimo Hai wilaya ya Mlimba Elizabeth Msobi jana wakivuka mto kwenda kukagua mashamba ya vijana wakati wa ziara ya wataalam wa Wizara ya Kilimo kutembelea vikundi vya vijana kijiji cha Kalengakelu wilaya ya Mlimba.(Picha na Wizara ya Kilimo) Mratibu wa Mkakati wa Vijana kushiriki kwenye kilimo toka Wizara ya Kilimo Revelian Ngaiza (kushoto aliyevaa tshirt blu) akiongea na Afisa Mtathmini wa shirika la SAT wakiwa kwenye shamba la mpunga lililolimwa na vijana kwa nia ya kilimo hai jana kijiji cha Kalengakelu wilaya ya Mlimba. SAT inatekeleza mkakati huo kwa kuwaunganisha vijana na kuwapa elimu ya