MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM, RAIS SAMIA AUNGANA NA WAJUMBE WENZAKE KWENYE KIKAO KINACHOFANYIKA DODOMA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan na
wajumbe wengine wakiwa tayari kuanza kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kinachoongozwa na Makamu Mwenyekiti wake
(bara) Ndugu Philip Mangula akisaidiana na Makamu wa Mwenyekiti mwenza
(Visiwani) Rais Mstaafu wa Zanzibar Ali Mohamed Shein katika Ukumbi wa
Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Jumatano Aprili 28,
2021.
Comments
Post a Comment