WAPATA ELIMU YA KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MOYO
Mkurugenzi
wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.
Tatizo Waane akimpa ushauri mara baada ya kupima moyo mwananchi aliyejitokeza
wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika katika
Maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi katika viwanja vya General tire
vilivyopo jijini Arusha.
Mkurugenzi
wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.
Tatizo Waane akiwafundisha namna moyo unavyofanya kazi wananchi waliotembelea
banda la taasisi hiyo wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
katika maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi kwenye viwanja vya
General tire vilivyopo jijini Arusha.
Wataalamu
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja wakati
wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika katika Maonesho ya
kimataifa ya usalama mahala pa kazi katika viwanja vya General tire vilivyopo
jijini Arusha.
Comments
Post a Comment