WAZIRI MKUU AWAONGOZA VIONGOZI, WABUNGE, WATUMISHI WABUNGE NA WANANCHI MBALIMBALI KATIKA KUMPOKEA RAIS WA IPU JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amewaongoza viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakiwemo wananchi wa Mkoa wa Dodoma katika mapokezi ya Spika wa bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchuini Anbgola ambapo hivi majuzi alichaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa 147 wa Umoja huo.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa 147 wa Umoja huo.


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa 147 wa Umoja huo.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa 147 wa Umoja huo.


Mwenyekiti  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Mathayo David, akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa 147 wa Umoja huo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba 30, 2023 akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa 147 wa Umoja huo

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"