RAIS SAMIA PAMOJA NA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA SHIRIKISHO LA UJERUMANI WAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu ziara ya mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier nchini Tanzania. Mkutano huo na Waandishi wa Habari umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizingumza na waandishi wa habari kuelezea yaliyojili kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Ujerumani Mheshimiwa Frank-Walter Steinmeier Ikulu jijini Dar es Salaam 

 

Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier akizungumza kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu ziara yake nchini Tanzania. Mkutano huo umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Y. Makamba (Mb,) akifuatilia mkutano wa Rais Samia na Rais wa Ujerumani Mheshimiwa Frank-Walter Steinmeier na waandishi wa habari uliokuwa ukuiendelea Ikulu jijini Dar es Salaam. 
Waziri wa Utalii na Mambo ya kale Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akifuatilia mkutano kati ya Rais Samia na Rais wa Ujerumani Mheshimiwa Frank-Walter Steinmeier na waandishi wa habari uliokuwa ukuiendelea Ikulu jijini Dar es Salaam
Wageni mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier pamoja na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier wakati wa Mkutano wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Ujerumani uliofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.
Sehemu ya Ujumbe wa Tanzania ulioshiriki katika Kongamano la Wafanyabiashara kati yao na Ujerumani lililofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.
Sehemu ya Ujumbe wa Ujerumani ulioshiriki katika Kongamano la Wafanyabiashara kati yao na Tanzania lililofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier wakati wa Mkutano wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Ujerumani uliofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"