WAZIRI NCHEMBA AKUTANA NA MKUU WA MAHUSIANO YA KIMATAIFA WA HEINEKEN

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Masuala ya Uhusiano wa kimataifa wa Kampuni inayozalisha kinywaji cha Heineken (Heineken Beverage International) Bw. Frank Ford, kuhusu masuala ya uwekezaji wa Kampuni hiyo, nchini Tanzania. Bw. Ford aliambatana na Mkuu na Menaja Mauzo wa Kampuni hiyo nchini Tanzania, Bi. Fatma Mnaro, ofisi za Hazina (Treasury Square) jijini Dodoma.





 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"