JAMII IENDELEE KUJIANDAA KUJIKINGA NA MAAFA- DKT YONAZI

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akizindua Jukwaa Shirikishi la Mawasiliano ya Kidijitali la Afya Moja na  namba ya dharura ya kupokea  taarifa za maafa Juni 30, 2023 Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa  Jukwaa Shirikishi la Mawasiliano ya Kidijitali la Afya Moja na  namba ya dharura ya kupokea  taarifa za maafa Juni 30, 2023 Jijini Dodoma.


Washiriki wa Hafla ya  Uzinduzi wa Jukwaa  Shirikishi la Mawasiliano ya Kidijitali la Afya Moja na  namba ya dharura ya kupokea  taarifa za maafa wakiafuatilia matukio mbalimbali katika uzinduzi huo uliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu  Juni 30, 2023 Jijini Dodoma.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Prof. Raphael Chibunda akifafanua jambo wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Jukwaa  Shirikishi la Mawasiliano ya Kidijitali la Afya Moja na  namba ya dharura ya kupokea  taarifa za maafa wakiafuatilia matukio mbalimbali katika uzinduzi huo uliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu  Juni 30, 2023 Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi  akiwa katika picha ya pamoja  na washiriki wa hafla ya Uzinduzi wa Jukwaa Shirikishi la Mawasiliano ya Kidijitali la Afya Moja na  namba ya dharura ya kupokea  taarifa za maafa uzinduzi uliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu  Juni 30, 2023 Jijini Dodoma.

Afisa TEHAMA Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Alex Ndimbo akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi (hayupo pichani) kuhusu mfumo wa  Jukwaa Shirikishi la Mawasiliano ya Kidijitali la Afya Moja na  namba ya dharura ya kupokea  taarifa za maafa unavyofanya kazi.

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"