DKT. MSONDE ASISITIZA WALIMU KUPEWA HUDUMA BORA
Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya
Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde akihimiza
uwajibikaji kwa Menejimenti ya Halmashauri ya Mji wa Nzega katika kikao kazi
chake cha kuhimiza uwajibikaji na kufanya tathmini ya ziara yake ya kukagua
ujenzi wa miradi ya miundombinu ya elimu kwenye Halmashauri hiyo.Baadhi ya watendaji wanaounda
Menejimenti ya Halmashauri ya Mji wa Nzega wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu
(Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Charles Msonde wakati wa kikao kazi chake
cha kuhimiza uwajibikaji na kufanya tathmini ya ziara ya kukagua ujenzi wa
miradi ya miundombinu ya elimu kwenye Halmashauri hiyo.
Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya
Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde akikagua moja ya
miundombinu ya elimu inayojengwa katika Halmashuri ya Wilaya ya Uyui akiwa
katika ziara yake ya kikazi wilayani humo.
Comments
Post a Comment