NSSF YANG'ARA MAADHIMISHO SIKU YA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI DUNIANI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Profesa Joyce Ndalichako (kulia) akimkabidhi Meneja wa NSSF Mkoa wa Morogoro, Rose Meta (kushoto) tuzo ya ushindi wa jumla kwa Taasisi za Umma zinazotoa Huduma ya Hifadhi ya Jamii katika sekta binafsi. Rose amepokea tuzo hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba  wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani iliyofanyika kitaifa viwanja vya Tumbaku mjini Morogoro.





Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"