RAIS MWINYI NA MAKAMU WAKE WA RAIS WASHIRIKI FUTARI ILIYOANDALIWA NA UBALOZI WA OMAN
Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Husein Ali Mwinyi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman, pamoja na viongozi wengine wakiwa katika Iftar ya pamoja iliyoandaliwa na Balozi mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar, Mhe. Said Salim Al-sinawy, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar, Aprili 28.
Comments
Post a Comment