MWENYEKITI WA CCM RAIS SAMIA APIGA KURA UCHAGUZI WA CCM SHINA LA IKULU CHAMWINO

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitumbukiza karatasi ya Kura kwenye boksi kuwachagua Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wanachama wa CCM mara baada ya kupiga kura kumchagua Mwenyekiti pamoja na Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo kabla ya kumpigia kura Mwenyekiti na Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti na Wajumbe wapya wa Shina namba 1 la Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino Ikulu waliochaguliwa tarehe 30 Aprili, 2022 Jijini Dodoma. (Picha na Ikulu).

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"