KAMATI YA BUNGE YA PAC YATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA MSD
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imetembelea Bohari ya Dawa (MSD) na kukagua Kiwanda cha Kutengeneza Barakoa na Kiwanda cha Dawa cha Keko vyote vya jijini Dar es Salam.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imetembelea Bohari ya Dawa (MSD) na kukagua Kiwanda cha Kutengeneza Barakoa na Kiwanda cha Dawa cha Keko vyote vya jijini Dar es Salam.
Comments
Post a Comment