RAIS SAMIA AKUTANA NA MTAWALA WA DUBAI, SHEIKH MOHAMMED BIN RASHID AL MAKTOUM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na Mtawala wa
Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum mara baada ya kuhutubia katika
Maonesho ya Dubai Expo 2020 yanayoendelea katika Mji wa Dubai leo tarehe 26
Februari, 2022. (PICHA IKULU)
Comments
Post a Comment