RAIS SAMIA AKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 26 Januari, 2022.
Comments
Post a Comment