RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA 20 WA TAASISI ZA FEDHA NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha Nchini wenye lengo la kupitia na kutatua changamoto mbalimbali katika sekta hiyo. Mkutano huo umefunguliwa leo tarehe 25 Novemba 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment