RAIS HAJAWAKATAZA KUPANGA MIJI: UMMY MWALIMU AWAAMBIA MA RC
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu amewaeleza Wakuu wa Mikoa yote nchini kuwa Mhe. Rais SamiaSuluhu Hassan hajakataza kupanga Miji ila kinachotakiwa unapohamisha Wafanyabiashara lazima ujiulize he unakowapeleka kunawafaa?Je wataendelea kupata wateja kama ilivyokuwa sehemu ulipowahamisha? Yakitimia haya inatosha kuchukua hatua ya Kupanga Miji.
Comments
Post a Comment