RAIS HAJAWAKATAZA KUPANGA MIJI: UMMY MWALIMU AWAAMBIA MA RC

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu  amewaeleza Wakuu wa Mikoa yote nchini kuwa Mhe. Rais SamiaSuluhu Hassan hajakataza kupanga Miji ila kinachotakiwa unapohamisha Wafanyabiashara lazima ujiulize he  unakowapeleka kunawafaa?Je wataendelea kupata wateja kama ilivyokuwa sehemu ulipowahamisha? Yakitimia haya inatosha kuchukua hatua ya Kupanga Miji.






 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"