SIMBA YATWAA UBINGWA WA SOKA TANZANIA BARA 2020/2021
Wachezaji wa Simba na benchi la ufundi wakishangilia mara baada ya kutwaa kombe la ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/2021 baada ya kufikisha pointi 83 kufauatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Namungo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam Julai 18, 2021. Kimainginpambano dhidi ya Namungo lilikuwa la kukamilisha ratiba.
Comments
Post a Comment