SIMBA YATWAA UBINGWA WA SOKA TANZANIA BARA 2020/2021

Wachezaji wa Simba na benchi la ufundi wakishangilia mara baada ya kutwaa kombe la ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/2021 baada ya kufikisha pointi 83 kufauatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Namungo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam Julai 18, 2021. Kimainginpambano dhidi ya Namungo lilikuwa la kukamilisha ratiba.









 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"