UJENZI WA MELI MPYA YA MV MWANZA WAFIKIA 74%

Kazi mbalimbali za ujenzi wa Meli mpya ya MV. Mwanza Hapa Kazi Tu ukiendelea kwa kasi kubwa katika Bandari ya Mwanza Kusini. Ujenzi wa Meli hiyo umefikia asilimia 74% na unatarajiwa kukamilika mapema mwakani.

Meli hii itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 1200 pamoja na mizigo tani 400, na inatarajiwa kufanya safari za kutoka Mwanza-Bukoba, Musoma na nchini Uganda. Hapo jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alitembelea kukagua ujenzi wa Meli hiyo mkoani Mwanza. 



Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"