BoT IKO TAYARI KUWAHUDUMIA WANANCHI WATAKAOTEMBELEA MAONESHO YA SABASABA BARABARA YA KILWA,DAR ES SALAAM.

  Meneja Msaidizi wa Idara ya Uhusiano wa Benki Kuu ya Tanzania BoT, Vicky Msina akizungumza na baadhi ya maofisa wa benki kuu katika banda lao leo kwenye  maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam katika  viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.

 

 Baadhi ya wananchi wakipata maelezo kutoka kwa maofisa wa Benki Kuu ya Tanzania BoT waliotembelea banda hilo kwenye maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.

 

Mmoja wa wananchi waliotembelea katika banda la Benki Kuu ya Tanzania BoT akiuliza swali kwa maofisa wa benki hiyo kwenye  maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.

Baadhi ya Maofisa wa Benki Kuu ya Tanzania BoT wakiwa tayari kabisa kuwahudumia wananchi watakaotembelea katika banda hilo katika maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"