WILAYA ITAKAYOKUMBWA NA NJAA DC ATAONDOKA: MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida wakati akiondoka mara baada ya kuwahutubia leo tarehe 31 Januari 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida wakati akiondoka mara baada ya kuwahutubia leo tarehe 31 Januari 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na watoto mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida Januari 31, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na watoto mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida Januari 31, 2021.(Picha na IKULU).

NA MWANDISHI MAALUM.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahimiza wananchi kufanya kazi kwa bidii kwani kuba kila dalili ya uwepo wa uhaba wa chakula Duniani kwa vile mataifa mengi wamejidu gia (lockdown).

"Mataifa mengi hawafanyi kazi kwa sababu wamejifungia, wana lockdown, tuutumie muda huu sisi kufanya kazi, sintatoa chakula kwenye Wilaya itakayokumbwa na njaa na Wilaya itakayokuwa na njaa Mkuu wa Wilaya atao doka na huo ndio ukweli," Alisema RAIS WILAYANI Bahi wakati akiwa njiani kuelekea jijini Dodoma akitokea mkoani Tabora leo Januari 31, 2021.


 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"