MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KOROGWE MKOANI TANGA
Mgombea Urais
kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Wananchi wa Korogwe katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika
katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe mkoani Tanga leo tarehe 20 Oktoba
2020.
Mgombea Urais
kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Wananchi wa Korogwe katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika
katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe mkoani Tanga leo tarehe 20 Oktoba
2020.
Sehemu ya
Wananchi wa Korogwe waliohudhuria mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia
Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika viwanja
vya Chuo cha Ualimu Korogwe.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwaelekeza Wananchi namna ya kumpigia Kura yeye pamoja na Mgombea Mwenza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Karatasi ya kupigia Kura katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe mkoani Tanga leo tarehe 20 Oktoba 2020
Comments
Post a Comment