CCM YAZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO

Mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika ndani na nje ya uwanja wa michezo wa Jamhuri jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa kampeni za Chama hicho leo Agosti 29, 2020. (PICHA NA IKULU)



 

Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Dodoma wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM kwa upande wa Urais, Wabunge na Madiwani katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. (PICHA NA IKULU)

Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akicheza pamoja na Wanamuziki wa Bendi ya TOT mara baada ya kuwasili katika uwanja wa mpira wa Jamhuri jijini Dodoma kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za CCM. (PICHA NA IKULU)

 

 

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Naseeb kwa jina la Diamond Platnumz akifanya vitu vyake wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma. Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Mgombea wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Msanii Ali Kiba akitumbuiza wakati wa uzinduzi huo.

Mambo ya mwanamuziki Hamza Kalala
Sehemu ya umati wa watu aliohudhuria uzinduzi huo 

Dokii akipagawisha
Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan akiingia uwanjani


Sinura akionesha mambo yake



Tanzania One Theatre wana TOT wakiimba nyimbo za hamasa
Mke wa Rais, John Magufuli, Mama Janeth akiingia uwanjani
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiingia uwanjani
Dk Magufuli pamoja na viongozi wengine wakipiga makofi wakati wa uzinduzi wa kampeni.
TOT  wakiimba wimbo wa Taifa  baada ya Dk. Magufuli na viongozi wengine kuingia uwanjani kuzindua kampeni

Viongozi wa dini wakiliombea Taifa



Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ali akielezea Ilani ya CCM ya 2020-2025

Dk. Magufuli akiwa na marais wastaafu Dk. Jakaya Kikwete (wa pili kushoto), Ali Hassan Mwinyi (katikati), Makamu Mwenyekiti na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Hussein Ali Mwinyi. (kUSHOTO)


 Ni furaha kwa kwenda mbele

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"