Posts
RAIS SAMIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZAALIWA
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
WAZIRI BASHUNGWA AMPONGEZA MKURUGENZI WA DART DK.EDWIN MHEDE KWA KUONGEZA MAPATO
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
WAZIRI wa Nchi Ofisi Rais Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa akizungumza na na Menejimenti ya taasisi ya Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka(DART) alipofanya ziara katika Ofisi za Wakala hiyo pamoja na kutembelea miundombinu inayotoa huduma na ile inayoendelea kujengwa, ili kuona mapato na maendeleo ya mradi kushoto anayemsikiliza ni Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka(DART) Dk. Edwin Mhede. Picha mbalimbali zikionesha Wazriri wa Nchi Ofisi Rais Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa, Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka(DART) Dk. Edwin Mhede na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Grace Magembe wakipata maelezo kutoka kwa Mohamed Kuganda Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafirishaji DART wakati alipokagua miundombinu ya shirika hilo. Wazriri wa Nchi Ofisi Rais Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa kulia na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka(DART) Dk. Edwin Mhede kwa pamoja wakati w
MAJALIWA: WATANZANIA TUSHIKAMANE KUIPA THAMANI TANZANITE
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watanzania kushirikiana na kushikamana ili kuyapa thamani madini ya Tanzanite na kuifanya dunia nzima itambue kuwa madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu na tayari imeweka mazingira ya kuyaongezea thamani. Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Jumatano, Januari 26, 2022) alipozungumza na wananchi katika eneo la EPZA unapojengwa Mji wa Tanzanie katika Mji Mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro akiwa katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo mkoani Manyara. Waziri Mkuu amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itahakikisha rasilimali zote zilizoko nchini yakiwemo madini ya Tanzanite zinawanufaisha wananchi wote hususani wanaoishi katika maeneo zinapopatikana. “Watanzania lazima tushirikiane na tushikamane kuyapa thamani madini hayo.” Amesema kuwa Serikali itaendelea kukutana na wafanyabiashara wa sekta madini kwa lengo la kuhakikisha kwa pamoja wanaweka mikakati ya kusaidia kuikuza sekta hiyo ili i
RAIS SAMIA AKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATANO TAREHE 26/1/2022
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG