Posts

KIWANDA CHA GALAXY&BEVERAGES LTD. KUNYWESHA MAZIWA MASHULENI

Image
  Kutoka katikati ni Kaimu Msajili wa Bodi ya maziwa Tanzania Noel Byamungu akifuatiwa na Kaimu  Katibu Tawala mkoa wa Arusha David Lyamongi , akikabidhiwa boksi la maziwa na Mkurugenzi wa kiwanda cha  Galax Food Beverages LTD   kama ishara ya kufungua rasmi mradi huo Kutoka katikati ni Kaimu Msajili wa Bodi ya maziwa Tanzania Noel Byamungu ,wamkwanza kulia ni Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji Hargeney Chitukuro akikabidhiwa mtindi kama ishara ya kufungua rasmi mradi huo Kaimu Msajili wa Bodi ya maziwa nchini Noel Byamungu kusaini makubaliano ya utekelezaji wa mpango wa unywaji wa maziwa mashuleni Kikao cha kusaini makubaliano ya utekelezaji wa mpango wa unywaji wa maziwa mashuleni kikiendelea kayika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa Arusha Irthan Virjee Mkurugenzi wa  kiwanda Cha Galax Food Beverages LTD wanaozalisha maziwa ya Kilimanjaro, akisaini  makubaliano ya utekelezaji wa mpango wa unywaji wa maziwa mashuleni Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Longido C

MRADI WA VIUNGO KULETA MAENDELEO UNGUJA NA PEMBA-DKT. ISLAM

Image
Mkurugenzi wa shirika la People Development Forume (PDF) Jurua Kizito akizungumza na Msimamizi mkuu wa mradi wa Viungo kanda ya Unguja Amina Ussi Khamis. Muhammed Khamis,TAMWA-Z’bar Katibu mkuu Wizara ya Biashara Zanzibar Dkt,Islam Seif Salum amesema ujio wa mradi wa viungo visiwani hapa umekuja wakati sahihi na utasaidia kwa kiasi kikubwa utekelezaji wa ahadi za Raisi wa Zanzibar Dkt,Hussein Ali Hassan Mwinyi katika kuwaletea maendeleo wananchi wa visiwa vya Unguja na Pemba. Ameyasema hayo katika ukumbi wa mamlaka ya huduma za nishati na maji Zanzibar (ZURA)alipokua akizindua kamati ya ushauri ya utekelezaji wa mradi wa viungo ilioshirikisha wakurugenzi tofauti wa taasisi husika za Serikali na binafsi. Alisema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ina matarajio makubwa kupitia mradi huo na kwamba utekelezaji wake utaisaidia ikiwemo kuwaletea maendeleo ya wananchi sambamba na kukuza ajira binafsi. Akiendelea kufafanua zaidi alisema kwa muda mrefu wakulima wa Zanzibar wamekua wakikabiliwa na c

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATANO MACHI 3, 2021

Image
 

RAIS WA ZANZIBAR DKT. HUSSEIN ALI MWINYI UAPISHA MAKAMO WA KWANZA WA RAIS IKULU ZANZIBAR

Image
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha na pamoja na Viongozi wa Vyama vya Siasa waliosimama nyuma na waliokaa kutoka (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi.(Picha na Ikulu)  

JENGENI VIWANDA VYA KUTENGENEZA VIRUTUBISHI: MHAGAMA

Image
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama ameushauri ushirika wa wazalishaji wakubwa wa vyakula nchini kujenga viwanda vya kutengeneza Virutubishi vinavyoongezwa kwenye vyakula badala ya kuviagiza virutubishi hivyo nje ya nchi. Virutubishi hivyo ni madini ya chuma, Zinki, Asidi ya foliki na Vitamini B 12. Waziri Mhagama ametoa ushauri huo baada ya kutembelea viwanda vya S.S Bakhresa Plant na Murzah Wilmar complex, jijini Dar es salaam, lengo likiwa ni kujionea hali ya urutubishaji, ambapo wamiliki hao wa viwanda vya usindikaji wa chakula (Unga wa ngano, unga wa mahindi na mafuta ya kula) wamebainisha kuwa wamekuwa na changamoto ya kupata virutubishi hivyo kwa wakati kutoka nje ya nchi. “Sisi kama serikali tupo tayari kushirikiana na nyie na tutatengeneza mazingira mazuri ya kuwawezesha kufanya uwekezaji wa viwanda hivyo. Tunaamini virutubishi hivi vikizalishwa hapa nchini gharama mnayotumia kununua virutubishi