DAYANA VIVIAN MABULA ALIVYOMEREREMETA KATIKA SEND OFF MWANZA
Dayana Vivian Mabula mtoto wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akipunga mikono kuwaaga waalikwa wakati akitoka katika sherehe yake ya Send Off iliyofanyika katika ukumbi wa Malaika Beach Resort jijini Mwanza tarehe 30 Januari 2020. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akimkabidhi Hati ya Kiwanja mtoto wake Dayana Vivian Mabula na kumtaka kuhakikisha analipa kodi ya pango la ardhi ili kuepuka tozo ya adhabu wakati wa sherehe yake ya Send Off iliyofanyika kwenye ukumbi wa Malaika Beach Resort jijini Mwanza tarehe 30 Januari 2021. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Mwalimu Queen Mlozi. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi akizungumza kabla ya kumkabidhi zawadi Dayana Vivian Mabula ambaye ni mtoto wa Naibu Waziri wa Ardhi Dkt Angeline Mabula katika sherehe ya Send Off iliyofanyika ukumbi wa Malaika Beach Resort jijini Mwanza tarehe 30 Januari 2021. Waziri