Posts

VIJANA JKT WAPONGEZWA KWA KUONESHA UZALENDO MSOMERA

Image
  VIJANA   wanaoshiriki kwenye kazi mbalimbali za ujenzi katika Kijiji cha Msomera wamepongezwa kutokana na kufanya kazi kwa kujituma na kuonesha uzalendo kwa taifa ili kufanikisha mpango wa serikali wa kuwahamisha wananchi kwa hiyari kutoka ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro. Akizungumza mara baada ya kamati ndogo ya ulinzi na usalama kutembelea eneo hilo Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Kamishna wa Polisi Charles Mkumbo amesema vijana hao ambao wanashiriki katika kazi hizo wameonesha uzalendo mkubwa katika kutimiza majukumu yao kwa maslahi ya taifa. Amesema zoezi la ujenzi wa nyumba linalofanywa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kupitia SUMA-JKT limeonesha mafanikio makubwa ambapo kwa mujibu wa taarifa ya jeshi hilo ujenzi wa nyumba 2559 katika Kijiji cha Msomera linatarajiwa kumalizika mwishoni mwa mwezi ujao. Mapema Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mheshimiwa Albert Msando amesema pamoja na jeshi hilo kufanya kazi vizuri changamoto kubwa kwa sasa ni kwa baadhi ya Wizara za kisekta ku

KUTOKA MAGAZETINI FEBRUARI 26, 2024

Image
 

KUTOKA MAGAZETINI LEO FEBRUARI 25, 2024

Image
 

RAIS SAMIA ASHIRIKI KATIKA MAZISHI YA KITAIFA YA ALIYEKUWA RAIS WA NAMIBIA MAREHEMU DKT. GEINGBOB

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob kwenye uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.Hayati Rais Geingob alifariki dunia tarehe 04 Februari na anatarajiwa kuzikwa tarehe 25 Februari, 2024 katika Makaburi ya Mashujaa ya Heroes’ Acre Jijini Windhoek Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mazishi ya Kitaifa ya ali