BENKI KUU YA TANZANIA (BoT) YAJIPANGA KUNUNUA TANI SITA ZA DHAHABU KWA MWAKA
Naibu Gavana wa BoT, Dkt. Yamungu Kayandabila Akizungumza katika semina kuhusu fursa zilizopo kwenye mnyororo wa thamani katika sekta ya Madini hasa watoa huduma kwenye migodi, ukumbi wa Mkapa kwenye Maonesho ya Teknolojia ya Madini, Viwanja vya EPZ Bombambili mjini Geita Septemba 28, 2023. Meneja Msaidizi, Upatikanaji na Usimamizi wa akiba ya Fedha za kigeni nchini BoT Dkt. Anna LyimoLyimo akifafanua mambo mbalimbali katika semina hiyo iliyofanyika mjini Geita Septemba 28, 2023. Naibu Gavana wa BoT, Dkt. Yamungu Kayandabila akiwa katika semina hiyo na watenaji na viongozi wengine katika sekta ya madini. Meneja Msaidizi, Upatikanaji na Usimamizi wa akiba ya Fedha za kigeni nchini BoT Dkt. Anna Lyimo akijadiliana jambo na Mkurugezi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO Dkt. Venance Mwase mara banda ya kumalizika kwa semina hiyo iliyofanyika mjini Geita Septemba 28, 2023. .................................... NA JOHN BUKUKU, GEITA Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imejipanga ku