Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Daniel Chongolo akizungumza kwenye Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano kutoka Serikalini (TAGCO) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam Machi 29, 2023. Kikao hicho cha siku tano kimebeba kauli mbiu isemayo "Mawasiliano ya Kimkakati Injini ya Maendeleo". (PICHA NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID). Katibu wa TAGCO, Bw. Abdul Njaidi (wapili kulia) na baadhi ya wajumbe wengine wa Kamati ya Utendaji ya TAGCO, wakisikiliza hotuba ya Ndg. Chongolo. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, akizungumza kwenye Kikao hicho. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, akizungumza kwenye Kikao hicho. Mwenyekiti wa TAGCO, Bi. Sarah Kibonde Washiriki wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo ( hayupo pichani). Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (kulia) akiteta jambo na Waziri wa