IGP WAMBURA AONGOZA KIKAO CHA KUPIMA UTENDAJI WA JESHI LA POLISI
Mkutano wa 14 wa kupima Utendaji (Performance Review Meeting- PRM) wa Maafisa wa vyeo vya juu wa Jeshi la Polisi umrfanyika leo Desemba 28, 2022 Jijini Dodoma. Mkutano huo umeongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura na umehudhuriwa na Makamishna, Ma naibu Kamishna, Wakuu wa Vikosi na Vitengo vya Polisi. Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura akizungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai DCI Ramadhani Kingai baada ya kuwasili katika ukumbi wa Polisi Jamii Jijini Dodoma kwa ajili ya kuongoza Mkutano wa 14 wa kupima utendaji (Performance Review Meeting - PRM) leo Disemba 28, 2022. Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura akisalimiana na Makamishna wa Jeshi la Polisi baada ya kuwasili katika Ukumbi wa Polisi Jamii Jijini Dodoma kwa ajili ya kuongoza Mkutano wa 14 wa kupima utendaji (Performance Review Meeting- PRM) unaofanyika leo Disemba 28, 2022.