Posts

WADAU WA ALMASI AFRIKA, KUKUTANA ARUSHA.

Image
 Na Ashura Mohamed, Arusha. Jumla ya nchi 18 katika bara la Afrika zinatarajia kukutana jijini Arusha katika mkutano wa dharula wa baraza la mawaziri wa Jumuiya ya nchi za Afrika zinazozalisha Almasi(ADPA). Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa Waziri wa Madini Dotto Biteko alisema kuwa katka nchi hizo,nchi 12 ni mwanachama zinazozalisha ambazo zimefuata Sheria za ADPA za Sasa na nchi Sita ni waangalizi zile ambazo jiolojia yake ina uwezo wa kuazalisha almasi na mwisho zinaweza kuwa na  wazalishaji wa siku za usoni. "Kama nilivyowaambia kuwa Tanzania Kama mwenyekiti wa mkutano wa tatu wa dharura wa Baraza la mawaziri wa nchi zinazozalisha almasi Afrika itakuwa na mkutano wa Baraza la Mawaziri kesho Tarehe 29,Julai 2022,katika kituo Cha mikutano Cha kimataifa Arusha"Alisema Waziri Biteko  Alisema kuwa mkutano huo mkutano huo umetanguliwa na kikao Cha kamati ya wataalamu kilichokaa kupitia taarifa na nyaraka za kabla ya kuwasiliana kwenye Baraza. Pia alisema kuwal engo

BODI YA MICHEZO YA KUBAHATISHA (GBT) YATOA MSADA WA VIFAA VYA KUSOMEA VYA THAMANI YA TZS MIL. 25 KWA WANAFUNZI VIZIWI SHULE YA MSINGI MSASANI A

Image
  NA KHALFAN SAID, MSASANI BODI ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (Gaming Board of Tanzania – GBT)), leo tarehe 28 Julai, 2022 imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kusomea na kufundishia kwa shule ya msing Msasani ‘A’, Kitengo cha Viziwi. Msaada huo wenye thamani ya TSh. 25,000,000.00. Akikabidhi vifaa hivyo katika hafla iliyofanyika kwenye Kitengo hicho, Mkurugenzi Mkuu wa GBT Bw. James Mbarwa alisema msada huo ni kutokana na taasisi yake kuguswa na ombi la uhitaji wa vifaa hivyo ili kuwasaidia wanafunzi na walimu wao. “Tukaona kwamba kuna haja ya sisi kushiriki kutoa chochote kidogo tulichonacho ili kuwafikia hawa wenzetu ambao wana changamoto ya kusikia lakini pia walezi wao.” Alisema Bw. Mbarwa ambaye alifuatana na Meneja wa Ukaguzi na Udhibi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya GBT inayohusika na masuala ya kusaidia jamii (CSR) Bw. Sadiki Elimsu na Afisa Habari na Elimu kwa Umma, Bi. Zena Athumani alisema msada huo ni kufuatia ombi lililowasilishwa na uongozi wa shule h

SERIKALI YA AWAMU YA SITA INAVYOWAJALI NA KUWATHAMINI WASTAAFU

Image
*Waziri Ndalichako asema dhamira ya Rais Samia ni kila mstaafu kupata haki yake, atoa maagizo mazito kwa waajiri wote nchini kuwasilisha michango kwa wakati  NA MWANDISHI WETU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Profesa Joyce Ndalichako amewahakikishia wastaafu nchini kuwa Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kutatua changamoto zinazowakabili wastaafu nchini. Profesa Ndalichako alisema hayo  Jijini Mwanza Julai 28, 2022 ikiwa ni muendelezo wake wa kukutana, kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili wastaafu ambapo tayari alishakutana na wastaafu wa Jiji la Dodoma na Dar es Salaam. Alisema Rais Samia anawajali na kuwathamini wastaafu wote nchini kutokana na mchango wao mkubwa walioutoa katika ujenzi wa uchumi wa nchi na ndio maana anataka kila mtumishi anayestaafu alipwe haki yake kwa mujibu wa Sheria. “Ndio maana nimeanza kukutana na wastaafu wetu kwani haya ni maelekezo ya Mhe. Rais Samia ambaye anawa

WAZIRI MCHENGERWA ATEMBELEA KAMBI YA WANAMICHEZO WA TANZANIA WANAOSHIRIKI MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA JIJINI BIRMINGHAM UINGEREZA LEO

Image
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akiongea na mwanariadha wa Marathon Alphonce Felix Simbu ambaye ni mmoja wa wachezaji tegemeo wa Timu ya Taifa inayoshiriki kwenye Mashindano ya Jumuiya ya Madola inayoanza rasmi kesho Alhamisi Julai 28, 2022 jijini Birmingham, akiwa na Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo Mhe. Said Yakub Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akiongea na wachezaji na viongozi wa Timu ya Taifa  inayoshiriki kwenye Mashindano ya Jumuiya ya Madola inayoanza rasminjijini Birmingham, Uingereza, kesho Alhamisi Julai 28, 2022, akiwa ameongozana na Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo Mhe. Said Yakub, Mbunge wa Singida mjini Mhe Mussa Sima na Kaimu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Neema Msitha. Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akiongea na wachezaji na viongozi wa Timu ya Taifa inayoshiriki kwenye Mashindano ya Jumuiya ya Madola inayoanza rasminjijini Birmingham, Uingereza, kesho Alhamisi J

RAIS SAMIA ATEUA WAKUU WA MIKOA NA KUHAMISHA WENGINE, PIA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA KUHAMISHA WENGINE

Image
  *Kuapishwa Agosti 1, 2022. NA MWANDISHI WETU RAIS WA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa wapya 9, kuwahamisha vituo vyao vya kazi Wakuu wa Mikoa 7 na wengine 10 kubaki kwenye vituo vyao. Pia Mhe. Rais Samia amewateua Makatibu Tawala wa Mikoa wapya 7, kuwahamisha vituo vyao kazi Makatibu Tawala 10 na wengine 9 kuendelea kwenye vituo vyao, taarifa mbili tofauti zilizotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu na kusainiwa na Mkurugenzi wake, Bi. Zuhra Yunus mapema leo alfajiri Julai 28, 2022 zimesema. Soma taarifa hizo kwa habari kamili. Rais Saimi.

KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI JULAI 28, 2022

Image