Posts

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA DKT. GHANEM

Image
 Makamu wa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango hii leo Septamba 28, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia  Dkt Hafez Ghanem Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais Dkt. Mpango amemuhakikishia Dkt. Ghanem kwamba Tanzania itaendelea kushirikiana na Benki hiyo katika masuala mbalimbali ya kuinua uchumi hapa nchini. Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema kwamba serikali ya awamu ya sita imeweka kipaumbele katika kuinua sekta binafsi pamoja na kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji hapa nchini. Amesema mpango wa maendeleo wa miaka mitano umelenga kuinua sekta ya viwanda hapa nchini hivyo serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kufanikisha hilo. Aidha Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema ili kukidhi mahitaji ya sekta binafsi hapa nchini serikali imeweka mkazo katika sekta ya elimu hasa elimu ya ufundi ili kupata wahitimu wenye ujuzi watakaoweza kusaidia kuinua sekta hiyo. Makamu wa R

TANZIA: NAIBU WAZIRI OLE NASHA AFARIKI DUNIA

Image
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Marehemu William Tate Ole Nasha

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMANNE SEPTEMBA 28, 2021

Image
 

TANESCO YAWA MWENYEJI WA KIKAO KAZI CHA KUWAJENGEA UWEZO NCHI WANACHAMA WA KUUZA UMEME AFRIKA MASHARIKI NA KATI

Image
Na  Grace Kisyombe, ARUSHA MKUTANO wa kujadili namna ya kutatua changamoto ya  upatikanaji wa  nishati ya  umeme wa uhakika na wenye gharama nafuu kwa wananchi wa nchi  wanachama wa ( Eastern Africa Power Pool-EAPP ), umeanza jijini Arusha leo Septemba 27, 2021 .  Mkutano huo ulioandaliwa na mwenyeji, Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) unawakutanisha pamoja Watendaji wa Mashirika Kumi na Moja  yanayounda EAPP. Akizungumza katika  mkutano huo, Mwakilishi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Philipo Lalisa ambaye  ni  Kaimu Meneja Mwendeshaji wa Mifumo ya Umeme katika gridi ya Taifa  amesema Serikali ya Tanzania  kupitia TANESCO inaendelea na maandalizi   kuwezesha kuongeza upatikanaji umeme katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati  kwa ujenzi wa Miundombinu ya Umeme ikiwemo njia Kuu ya Usafirishaji umeme wa Msongo wa Kilovolti 400  utakao iunganisha Tanzania na Kenya kwa upande wa Kaskazini. Akieleza zaidi Mhaindisi Lalisa alisema kwa upande wa Kusini Mradi huu utaiwezesha T

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO MKUU MAALUM WA UCHAGUZI ALAT

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amerejea kauli yake kuwa hatamfokea mtendaji yeyote yule wa Serikali Bali atatumia kalamu kurekebisha penye mapungufu ya kiutendaji. Rais ametoa kauli hiyo Leo Septemba 27, 2021 wakati akifungua mkutano Mkuu Maalum wa Uchaguzi wa Viongozi wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.