NAIBU WAZIRI GEKUL ATAKA UPANUZI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA MICHEZO MALYA UKAMILIKE SEPTEMBA
a. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul akipata maelezo juu ya maendeleo ya ujenzi wa hosteli ya Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya kutoka kwa Mkuu wa Chuo Richard Mganga alipotembelea eneo hilo Julai 17, 2021. Nyuma ni Mkururugenzi Msaidizi wa Michezo Addo Komba, kulia Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Johari Samizi. a. Mafundi wakiendelea kufyatua matofali kwa ajili ya kujengea hosteli ya Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya itakayokuwa na uwezo wa kuchukua zaidi ya wanachuo 190. a. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul akihutubia kwenye mahafali ya kumi (10) ya Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Julai 17, 2021. a. Wanachuo wa chuo cha Michezo Malya waonyesha mchezo wa kufanya mazoezi kwenye mahafali ya kumi (10) ya Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Julai 17, 2021 Na John Mapepele, Mwanza Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul ameutaka Uongozi wa Chuo c