Posts

TANZANIA YAPATA MKOPO WA DOLA MILIONI 140 KUTOKA AfDB KUTEKELEZA MRADI WA UMEME MTO MALAGARASI, KIGOMA

Image
  Na, Saidina Msangi na Ramadhani Kissimba, WFM, Dar es Salaam Serikali ya  Tanzania na Benki ya Maendeleo ya Afrika zimesaini  mikataba miwili ya mkopo wenye thamani ya dola za Marekani milioni 140 (takriban shilingi bilioni 323.4) kwa ajili ya kufadhili Mradi wa kufua Umeme wa nguvu ya maji -  Malagarasi.     M i kataba  y a  mkopo huo wenye masharti nafuu imesainiwa  Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba, kwa niaba ya Serikali na Bi. Nnenna Nwabufo,   Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Kanda ya Afrika Mashariki .   Akizungumza wakati wa kusainiwa kwa M i kataba hiyo, Bw. Tutuba  alisema kuwa utekelezaji wa mradi huo   utaijengea TANESCO uwezo wa usambazaji wa vifaa vya kuunganisha wateja 4,250 katika Wilaya za Kigoma, Kibondo na Kasulu ikiwemo kaya 1,000 zenye kipato cha chini, zahanati 4 na shule za msingi 6.   “Mradi huu utahusisha ujenzi wa kituo kipya cha uzalishaji wa umeme wa gridi ya 49.5 MW chenye uwezo wa   kuzalis

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATANO MEI 26, 2021

Image
 

Rais Samia Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Waziri Wa Mambo Ya Nje Ya Saudia Arabia Mwana Wa Mfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud Ikulu Jijini Dar Es Salaam

Image
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwana wa mfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 25 Mei, 2021.  PICHA NA IKULU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwana wa mfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 25 Mei, 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwana wa mfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 25 Mei, 2021.   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwana wa mfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara baa

RC MAKALA AWATUKIA SALAMU MAJBAZI, VIBAKA DAR. AWATAKA WAJISALIMISHE

Image
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam *Mhe. Amos Makalla* ameliagiza Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam kuhakikisha *linawashughulikia kikamilifu Majambazi na Vibaka* Jijini humo huku akiwataka *kujisalimisha na kukabidhi Silaha zao* kwa hiyari. *RC Makalla* ameagiza kuanza kwa *Operesheni ya kufagia watu wote wanaofanya Vitendo vya uhalifu Jijini humo* ambapo amesema ni vyema pia *Wazazi wakaanza kuwaonya watoto wao* pindi wanapoona Wana *mienendo isiyoeleweka.* Aidha *RC Makalla* amesema kwakuwa uzoefu unaonyesha wahalifu hao hutumia *Silaha kujerui na kusababisha vifo*, ni vyema *Jeshi la Polisi likawawahi kuwashughulikia kikamilifu Majambazi kabla hawajatumia Silaha hizo kujerui na kusababisha vifo kwa Wananchi.* Hata hivyo *RC Makalla amewahikikishia Wananchi Usalama* na kuwataka kuendelea na majukumu yao Kama kawaida kwakuwa *Vyombo vya usalama* vimejidhatiti kulinda *usalama wao na mali zao.* Kwa upande wake *Kamanda wa Polisi* Kanda Maalumu ya Dar es salaam *Camilius Wambur

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMANNE MEI 25, 2021

Image