Posts
RAIS SAMIA AONGOZA MAELFU MAZISHI YA JPM
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA MACHI 26, 2021
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
VIONGOZI, WASANII NA MAELFU YA WANANCHI WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA HAYATI DKT MAGUFULI KIJIJINI CHATO MKOANI GEITA LEO
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
Joseph, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Joseph, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitoa heshima zake za mwisho katika Uwanja wa Magufuli kijijini Chato mkoani Geita leo Machi 25, 20121 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdullah akiongoza wananchi kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Uwanja wa Magufuli kijijini Chato mkoani Geita leo Machi 25, 20121 Sehemu ya ndugu wa karibu wa marehemu wa aliyekuwa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Uwanja wa Magufuli kijijini Chato mkoani Geita leo Machi 25, 20121(PICHA NA IKULU). Viongozi mbalimbali wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Uwanja wa Magufuli kijijini Chato mkoani Geita leoMachi 25, 2012
CHATO WABUBUJIKWA NA MACHOZI
- Get link
- Other Apps
By
K-VIS BLOG
SHUGHULI ya kuaga mwili wa marehemu Dkt. John Pombe Magufuli imeacha simanzi huku Wakazi wa Chato na maeneo jirani wakibubujikwa na machozi wakati wa kuaga mwili wa Kiongozi huyo aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uwanja wa Magufuli wilayani humo leo Machi 25, 2021. Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ndiye aliyeongoza shughuli hiyo itakayofuatiwa na mazishi yatakayofanyika Ijumaa Machi 26, 2021.