NAIBU WAZIRI CHILO ATEMBELEA IDARA YA UHAMIAJI MKOA WA KUSINI PEMBA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Khamis Hamza Chilo,akizungumza na viongozi wa juu wa Idara ya Uhamiaji mkoa wa Kusini Pemba leo, wakati wa ziara ya kikazi.Watatu kushoto ni Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar,Johari Sururu. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo,akikaribishwa dafu baada ya kumaliza ziara ya kikazi katika Ofisi ya Idara ya Uhamiaji,Mkoa wa Kusini Pemba Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Khamis Hamza Chilo,akiongozana na Askari wa Uhamiaji leo, wakati wa ziara ya ukaguzi wa nyumba za askari wa uhamiaji (zinazoonekana pichani), zilizopo Wilaya ya Ckakechake, mkoa wa Kusini Pemba.