Posts

MFUMO MPYA WA KITANZANIA WA TAARIFA ZA KIUTUMISHI NA MISHAHARA KUDHIBITI UINGIZWAJI WA TAARIFA ZISIZO SAHIHI

Image
James Mwanamyoto, Dodoma Maafisa Utumishi na Maafisa Tawala 108 waliohitimi Mafunzo ya siku 12 ya Mfumo Mpya wa Kitanzania wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara wametakiwa kukamilisha usahihishaji wa taarifa za watumishi zilizopo kwenye mfumo wa sasa ili ziweze kuingizwa katika mfumo mpya, kwani mfumo mpya hautoruhusu kuingiza taarifa ambazo sio sahihi na zisizokamilika.  Maelekezo hayo yametolewa jana jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Cosmas Ngangaji wakati akifunga mafunzo hayo yaliyokuwa na lengo la kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa rasilimaliwatu na mishahara. Bw. Ngangaji amesema, baada ya kukamilika kwa mafunzo haya na kuanza kutumika rasmi kwa mfumo huu mpya, Serikali inatarajia mfumo mpya utatumika kutatua kero za watumishi kwa ufanisi na kwa haraka zaidi ikiwa ni pamoja na kuwaondolea usumbufu wa kufuata huduma Ofisi ya Rais Utumishi.  Bw. Ngangaji ameongeza kuwa, mfumo mpya utaongeza uadilifu kiutendaji kwani umeweze

TARI YATOA MAFUNZO YA UPANDAJI BORA WA ZAO LA KOROSHO MPWAPWA DODOMA

Image
  Mtafiti  kutoka Tari- Naliendele Programu ya Zao la Korosho, Kasiga Ngiha, akitoa mafunzo ya jinsi ya kuandaa shamba, kulipima na upandaji wa zao la korosho kwa Maafisa Ugani na Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma jana katika shamba la Magereza la wilaya hiyo. Afisa Kilimo kutoka Kata ya Lufu, Pascal Male (kushoto) na wenzake wakijifunza kutoka TARI namna ya kuweka alama wakati wa mafunzo kwa vitendo ya upimaji wa shamba la korosho kabla ya kupandwa zao hilo. Maafisa Ugani na Wakulima wakijifunza kwa vitendo namna ya upimaji wa shamba la korosho kabla ya kupanda. Mkulima kutoka Kata ya Lupeta, Yohana Mkasanga (Aliye chuchumaa akipima shamba kwa kamba katika mafunzo hayo ya vitendo. Kushoto (mwenye kofia) ni Mratibu wa Kitaifa wa Zao la Korosho kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Naliendele Mtwara, Dkt.Geradina Mzena akiwa kwenye mafunzo hayo. Afisa Kilimo kutoka Wilaya ya Mpwapwa, Kongwa, Malizia Said (kulia), akijifunza kutoka TARI namna ya kuweka alama

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATATU SEPTEMBA 28, 2020

Image
 

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAPILI SEPTEMBA 27, 2020

Image